NEW SEASON 2020/2021 NOW OPEN, YOU ARE WELCOME. MSIMU MPYA WA MAUZO YA KOROSHO 2020/2021 UMEFUNGULIWA, KARIBUNI SANA!
                                    The United Republic Of Tanzania
                                              cashews Cashewnut Board Of Tanzania cashews

Cashewnut Board Of Tanzania

CLICK TO VIEW THE REMINDER TO CASHEWNUT BUYERS TO DO QUALITY INSPECTION OF RAW CASHEWNUT
 K o r o s h o
  • Home
  • About Us
  • Stakeholders
  • Regulations
  • Contact Us
  • ATMIS
  • e-Mails

MAFUNZO YA UBORA WA KOROSHO MSIMU 2020/2021

  • Bodi inaendesha mafunzo ya uhakiki ubora msimu wa mwaka 2020.
  • Kifungu cha 20(1) cha Sheria Namba18 ya Mwaka 2009 ya Korosho na Kanuni za Mwaka 2010 kinabainisha kwamba Bodi ya Korosho Tanzania ndiye msimamizi Tasnia ya Korosho nchini. Pamoja na mambo mengine, Bodi ya Korosho inasimamia udhibiti wa ubora wa Korosho ghafi, karanga na bidhaa zote zitokanazo na Korosho.

    Kwa mwaka huu, Bodi ya Korosho inaendesha mafunzo ya uhakiki ubora kwa watu wote wanaofanya kazi ama wenye nia ya kufanya kazi za uhakiki ubora katika msimu wa mauzo ya Korosho kwa mwaka 2020/2021. Mafunzo hayo yanalenga wataalam wapya na wale wanaoongeza ujuzi (kwa waliowahi kupatiwa mafunzo kabla). Mafunzo haya ni muhimu kwa wadau mbalimbali wakiwamo Waendesha Ghala, Wanunuzi, Vyama Vikuu vya Ushirika na Wamiliki wa Viwanda vya kubangua Korosho, wataalam wa ugani na kilimo.

    Mafunzo yameanza kufanyika tarehe 01/09/2020 hadi 05/09/2020 katika ukumbi wa mikutano wa Chuo cha Kilimo Mtwara (MAT).

    Sifa za Mshiriki:

    • Mdau katika tasnia ya Korosho mwenye nia ya kupata elimu ya udhibiti ubora wa Korosho ghafi
    • Mtu mwenye elimu ya kilimo au taaluma inayoshabihiana na kilimo

    • NEWS AND EVENTS
    • TAARIFA KUHUSU VIWANGO VYA UNYAUFU WA KOROSHO GHALANI
    • TAARIFA YA MABADILIKO YA ENEO LA MNADA WA KESHO WA RUNALI
    • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MABORESHO YA MWONGOZO NA.1 WA USIMAMIZI WA MASOKO NA MAUZO YA KOROSHO GHAFI KWA MSIMU WA MWAKA 2020/2021
    • MWONGOZO WA UPATIKANAJI WA KOROSHO GHAFI KWA WABUNGUAJI WA NDANI
    • [UPDATES] AUCTIONS TIMETABLE FOR THE SEASON 2020/2021
    • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MWONGOZO NA.1 WA USIMAMIZI WA MASOKO NA MAUZO YA KOROSHO GHAFI KWA MSIMU WA MWAKA 2019/2020
    • APPLICATION FOR BUYING LICENSE FOR THE 2020/2021CROP SEASON
    • MWONGOZO NA .1 WA USIMAMIZI WA MASOKO NA MAUZO YA KOROSHO GHAFI WA MWAKA 2020/2021
    • MWONGOZO NA. 2 WA USIMAMIZI NA UDHIBITI UBORA WA KOROSHO GHAFI WA MWAKA 2020/2021
    • RULES AND CONDITIONS OF SALES FOR THE 2020/2021 CROP SEASON
    • TARATIBU ZA KUSAFIRISHA KOROSHO ZILIZOBANGULIWA KUTOKA VIKUNDI VYA UBANGUAJI KOROSHO NDANI NA NJE YA NCHI
    • Wanunuzi wa Korosho kusajiliwa Online 
    • Usajili wa wakulima  
    • Farmer registration form  
    • Cashewnut Act  
    • Cashewnut production trend 
    • OUR YOUTUBE CHANNEL
    • Kaimu Mkurugenzi mkuu akizungumzia umuhimu wa Mashamba ya pamoja (Block farming) na shuguli za ugani Wilayani Manyoni baada ya kukabidhi pikipiki nne(4) kwa ajili ya shughuli hizo wilayani humo
    • QUICK INFORMATION & LINKS
    •  Wizara ya Kilimo  
    •  Soko la bidhaa Tanzania(TMX)  
    •  Bodi ya Leseni za Maghala(WRRB)  
    •  Bodi ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko(CPB)  
    •  ATMIS  
    • CASHEWNUT PLANTATION MAP

    TAARIFA YA MABADILIKO YA ENEO LA MNADA NA MWALIKO WA KUHUDHURIA MNADA WA KESHO WA RUNALI

    Bodi ya Korosho kwa niaba ya Chama Kikuu cha ushirika RUNALI inapenda kukutaarifu mabadiliko ya eneo la mnada wa tarehe 25.10.2020 ambao ilikua ufanyike wilaya ya Liwale kwa siku ya tarehe 25.10.2020 badala yake mnada huo utafanyika wilaya ya Nachingwea kwenye ofisi za RUNALI.

    Kwa niaba ya Bodi ya chama kikuu RUNALI Bodi ya Korosho inaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza aidha inapenda kukualika kuhudhuria mnada huo utakaoanza saa 3:00 asubuhi hadi 10:00 jioni bila ya kukosa.

    Cashewnut Act  

    Click link below to Download Cashewnut cashewnut act 18 of 2009

    Fomu ya usajili wa Mkulima  

    Bonyeza kitufe chini kupakua Fomu ya usajili wa Mkulima

    Mwongozo wa upatikanaji wa Pembejeo 2018/2019  

    Bonyeza kitufe chini kupakua Mwongozo wa upatikanaji wa Pembejeo 2018/2019

    Mwongozo wa uzalishaji miche 2017/2018  

    Bonyeza kitufe chini kupakua Mwongozo wa uzalishaji miche 2017/2018

     

    Download cashewnut production trend
    web counter
    Visitors

    CONTACT US

    Director General
    Cashewnut Board Of Tanzania
    P.O BOX 533
    Mtwara
    Telephone (023) 2333303
    Fax (023) 2333536
    Email: info@cashew.go.tz

    DAR ES SLAAM BRANCH

    P.O BOX 9234
    Dar Es Salaam
    Telephone (022) 2113161
    Fax (022) 2117918
    Email: info@cashew.go.tz

    TUNDURU BRANCH

    P.O BOX 127
    Tunduru
    Telephone/Fax (025) 2680221
    Email: info@cashew.go.tz

    LINDI BRANCH

    P.O BOX 1032
    Lindi
    Telephone 023-2202006
    Email: info@cashew.go.tz

    MANYONI BRANCH

    P.O BOX 119
    Manyoni
    Telephone 073881077
    Email: info@cashew.go.tz

    Cashewnut Regulations  

    Click link below to Download Cashewnut Industry Regulations