Skip to main content
HUDUMA YA TAASISI

Usajili wa wakulima wa Korosho

Hutolewa kwa kampuni, taasisi na wakulima wa korosho, Mkulima anatakiwa kuwa na ;

  1. Uthibisho wa umiliki wa ardhi
  2. Kitambulisho cha NIDA, Kitambulisho cha Mpiga Kura, Leseni ya Udereva,Pasipoti ya kusafiria (Kimoja kati ya hivi)


 

Unahitaji Ufafanuzi?

Wataalamu wetu wapo tayari kukusaidia kupata huduma hii kwa usahihi.

Wasiliana Nasi